MAJALIWA AZUNGUMZA NA WALIMU WA ARUSHA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa 
akizungumza na Walimu wa Arusha kwenye    ukumbi wa Simba katika Kituo 
cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) Desemba 2, 2016. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Walimu wa Arusha jana 
walifurika kwenye ukumbi wa Simba katika Kituo cha Kimataifa cha 
Mikutano cha Arusha (AICC) kumsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa 
 katika mkutano kati yake na wo aliouitisha. Pichani, baadhi ya walimu 
wakiwa wamekaa kwenye ngazi na sakafuni baadaya viti kujaa. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni