Ijumaa, 2 Desemba 2016

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WALIMU WA ARUSHA


wali
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Walimu wa Arusha kwenye    ukumbi wa Simba katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) Desemba 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
wali-1
 Walimu wa Arusha jana walifurika kwenye ukumbi wa Simba katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kumsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  katika mkutano kati yake na wo aliouitisha. Pichani, baadhi ya walimu wakiwa wamekaa kwenye ngazi na sakafuni baadaya viti kujaa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni