Jumatano, 30 Novemba 2016

MEYA WA JIJI LA ARUSHA AZINDUA KAMPUNI YA MASOKO YA KISMATY ADVERT MEDIA

 Mkurugenzi wa Kismaty Advert Media Company Ltd, Bi. Mary Emmanuel Mollel akizungumza Machache katika uzinduzi wa kampuni ya Matangazo ya Kismaty Advert Media katika ukumbi wa Asili Resort jijini Arusha, Novemba 25 ,2016.
Mkurugenzi wa Kismarty Advert Media Company Ltd Mary Emmanuel ,akisalimiana na viongozi mbalimbali waliohudhuria katika hafla hiyo katika uzinduzi wa kampuni ya Matangazo ya Kismaty Advert Media katika ukumbi wa Asili Resort jijini Arusha, Novemba 25 ,2016.
Wa kwanza kulia ni Meya wa jiji la Arusha Calist Lazaro , mkurugenzi wa Kismarty Advert Media Co. Ltd, Bi. Mary Emmanuel ,na Mratibu wa shughuli hiyo Bi. Dotto Kimaro katika uzinduzi wa kampuni ya Matangazo ya Kismaty Advert Media katika ukumbi wa Asili Resort jijini
Arusha, Novemba 25 ,2016.
Mchekeshaji ‘Steve Nyerere’ nae hakubakia nyuma alikuwepo akifanya yake katika uzinduzi wa kampuni ya Matangazo ya Kismaty Advert Media katika ukumbi wa Asili Resort jijini Arusha, Novemba 25 ,2016.






Watatu kutoka kushoto ni Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Calist Lazaro ,Naibu meya Bi. Viola Lazaro ,Diwani wa kata ya Themi Kinabo na Diwani wa kata ya Levolosi Ephata Nanyaro katika uzinduzi wa kampuni ya Matangazo ya Kismaty Advert Media katika ukumbi wa Asili Resort jijini Arusha, Novemba 25 ,2016.
Wa pili Kutoka Kushoto ni Meneja wa Venus Hotel Mr. Prashant akiongozana na mkewe na rafiki yao Mr. Dibin wakiwa katika uzinduzi wa kampuni ya Matangazo ya Kismaty Advert Media katika ukumbi wa Asili Resort jijini Arusha, Novemba 25 ,2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni