MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA YAFUTWA
Akitoa tamko la kuharishwa kwa 
maadhimisho hayo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na 
Serikali za Mitaa(Tamisemi), George Simbachawene amesema maadhimisho 
hayo yalilenga kila halmashauri isafirishe wanachama wa vyama vya watu 
wenye ulemavu ili washiriki maadhimisho hayo jijini humo.
Amesema kwa mujibu wa maelekezo 
aliyopewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa wakuu wa mikoa kuwa badala 
ya maadhimisho hayo ya kitaifa kukusanya walemavu wote kwenye mikoa 
kwenda Dar es salaam yafanyike kwenye mikoa yao.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni