Jumapili, 19 Aprili 2015

LOWASA AUNGANA NA WANANCHI KATIKA MATEMBEZI YA KUPINGA MAUAJI YA ALBINO

 




 



 Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa ambaye pia ni Munge wa Monduli akiongoza matembezi  matembezi hayo yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Matembezi hayo yaliyoandaliwa na vijana wa TEMEKE yaliyoanzia katika uwanja wa Taifa na kumalizika katika viwanja vya  TTC Changombe jijini Dar es Salaam



 



Baadhi ya Wananchi waliojitokeza katika kuunga matembezi hayo ya kulaani na kupinga mauaji ya albino. jijini DAR ES salaam.



Mheshimiwa Lowassa akiwa pamoja na baadhi ya Wananchi katika matembezi hayo.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni