Jumatano, 15 Aprili 2015

AJALI ZA BARABARANI ZAZUA GUMZO

Eneo ilipotokea ajali ya basi la Jordan linalofanya safari za Arusha Mwanza iliyotokea leo .
 
Baadhi ya mashuhuda wa ajali ya basi la Jordan  wakifuatilia kwa karibu .

Basi la kampuni ya Air Jordan linalofanya safari zake Mwanza ,Arusha limepata ajali mbaya iliyotokea eneo la Nzega leo amabapo mtu mmoja amefariki na wengine 28 wamejeruhiwa na chanzo cha ajali hiyo inasemekana ni mwendo kasi wa dereva.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni