TBL Group yaadhimisha mwezi wa Saratani ya matiti kwa vitendo
–Yaendesha zoezi la kupima afya za wafanyakazi na familia zao
Wafanyakazi wa kampuni ya TBL
Group katika viwanda vyake vyote nchini vilivyopo katika mikoa ya Dar
Es Salaam,Mwanza,Mbeya,Arusha na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki walipimwa
Saratani ya matiti ikiwemo kupatiwa elimu juu ya ugonjwa huu ambao
umekuwa ukiongezeka kwa kasi nchini ikiwa ni maadhimisho ya Mwezi wa
Saratani ya Matiti kupitia mpango wa kampuni wa Afya Kwanza.![sara1](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_sfIHwD1VrBSu6wKY1Z2rNofRIprHiL4t6Ihk32bO4MY4PAnx__Uk1o6-jKbO2i94e0xljWwh5jxU2kcWjFY32m4BWUdXHZ8idtHtyPlaRRgpwEVFddp-PpRPArtTcSp6w3cifIkp0=s0-d)
Maofisa wa TBL Arusha wakifuatilia maelezo ya semina ya afya
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL wakifuatilia mafunzo ya Afya kuhusiana na saratani
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Dar es Salaam wakifuatilia mafunzo wakati wa semina ya masuala ya saratani ya matiti
Baadhi ya wafanyakazi wa Konyagi wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa semina ya afya kuhusiana na Saratani ya Matiti
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Mbeya katika picha ya pamoja kabla yakuanza semina ya Saratani ya matiti
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Mwanza wakati wa mafunzo kuhusiana na saratani ya matiti
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni