MWENYEKITI WA CCM DK. JAKAYA KIKWETE AKAGUA UKUMBI KABLA YA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM KUFANYIKA


Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula akizungumza na mjumbe wa kamati kuu Ndugu Mohamed Seif Khatib.


Mwenyekiti wa CCM Dk. Jakaya
Kikwete akionyesha mandhali ya ukumbi na Nape Nnauye Katibu Mwenezi
Taifa wa CCM wakati alipokuwa akikagua ukumbi huo.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni