![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgF5WAIVUh3OO1iiTDO8p4wOvFO62Tq6xXNCgAvqo_dEG6WNLQ8ZgrEZOOHCWVvm5PdbYgjKIQ2xNb0lLi9YoQvHUKIU9EOMcpSEST7Ok7rch4pbMD5Q26Cd8WHqxGRK3eFD16T6vwGPyE/s200/HELLEN.jpg)
Msiba upo nyumbani kwake eneo la Kisasa, Mjini Dodoma. Taarifa zaidi na taratibu nyingine ikiwa ni pamoja na ratiba kamili ya maziko zitaendelea kutolewa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu pindi mipango itakapokamilika.
Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi, amin!
Imetolewa na:
Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano
Ofisi ya Bunge
Dar es Salaam
27.11.2015
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni