Kawaida watoto wa kiume na wa kike
wanapofikisha umri wa kubalehe ma kuelekea utu uzima ,dalili mbalimbali huanza
kujitokeza ikiwemo kuota nywele sehemu mbalimbali za mwili kama kwapani na
sehemu za siri ,chunusi usoni,sauti kubadilika na kuwa nzito kwa wavulana na nyororo kwa wasichana.
Jumamosi, 28 Novemba 2015
Ijumaa, 27 Novemba 2015
KAMANDA MPINGA AZINDUA OPARESHENI YA PAZA SAUTI DAR
Kamanda wa Kikosi cha
Usalama Barabarani,DCP Mohamed Mpinga, akisalimiana na Mabalozi
wa Usalama Barabarani, muda mfupi kabla ya kuzindua Operesheni ijulikanayo kwa
jina la “Paza Sauti” yenye lengo la kuwaelimisha abiria ili waweze kutoa taarifa
mara wanapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa sheria za barabarani. Operesheni
hii ilizinduliwa jijini Dar es Salaam leo.
MAHAKAMA KUU TANZANIA KUFUNGUA NJIA KWA WAANDISHI WA HABARI
ALIYEKUWA MGURUGENZI MSAIDIZI WA SHUGHULI ZA BUNGE BI.HELLEN MBEBA AFARIKI
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI,AWAVUA GAMBA BAADHI YA MAAFISA TRA
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi
maofisa watano na watumishi watatu wa mamlaka ya mapato Tanzania(TRA)kutokana
na upotevu wa makontena
349 yenye thamani ya zaidi ya sh.bilioni 80.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)