Jumatatu, 1 Agosti 2016

Wanamichezo waaswa kutotumia dawa za kuongea nguvu katika michezo.

 Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.
Alex Nkenyenge akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanamichezo wanaokwenda
kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil  katika
mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016 leo Agosti 1, 2016.
 Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw.
Maharage Chande  akishukuru Serikali kwa
fursa ya kuunga mkono jitihada za kuendeleza michezo wakati wa hafla ya kuwaaga
wanamichezo wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil  katika mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016
leo Agosti 1, 2016.
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na
Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akizungumza na wanamichezo na wadau wa
michezo  katika hafla ya kuwaaga
wanamichezo wanaoenda kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil  katika mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016
leo Agosti 1, 2016.
 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
 Anastazia Wambura akiongea na wanamichezo na wadau wa michezo  katika hafla ya kuwaaga wanamichezo wanaokwenda
kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil  katika
mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016 leo Agosti 1, 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni