Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole
Gabriel (kulia) akimuonesha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na
Michezo Mhe. Anastazia Wambura eneo eneo la ujenzi wa mageti ya
kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Agosti 1, 2016 Jijini Dar es
Salaam.
Kaimu
Meneja wa Uwanja wa Taifa Bw.Julius Mgaya (kulia) akitoa maelezo kwa
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura
na Katibu Mkuu Wizara ya hiyo Prof Elisante Ole Gabriel kuhusu ujenzi
wa mageti ya kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Agosti 1, 2016
Jijini Dar es Salaam.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni