Rais Mstaafu jK akutana na waandishi wa habari kutoka Malaria No More
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya
Kikwete akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kutoka Taasisi
ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam,
waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania
inavyopambana na ugonjwa wa malaria.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya
Kikwete akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kutoka Taasisi
ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam,
waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania
inavyopambana na ugonjwa wa malaria. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya “Malaria No More” Martin Edlund.
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya
Kikwete akiongea na waandishi wa Habari kutoka Taasisi ya “Malaria No
More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam, waandishi hao wapo
nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana
kutokomeza ugonjwa wa malaria.
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya
Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waandishi wa Habari
kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar
es salaam, waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea
namna Tanzania inavyopambana kutokomeza ugonjwa wa malaria.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni