NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI DK. MHANDISI JU.LIANA PALLANGYO AKUTANA NA WATENDAJI KUTOKA TPDC

Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya
nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (pichani) akisisitiza jambo
katika kikao hicho.
Wataalam
kutoka Idara ya Nishati kutoka kushoto, Mussa Abbas na Athur Lyatuu
wakinukuu hoja mbalimbali zilizokuwa zinajadiliwa katika kikao hicho.
Wataalam
kutoka Idara ya Nishati iliyopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini
wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika
kikao hicho
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni