Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa
maelekezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe Lt. Mstaafu Chiku Galawa (Kulia)
wakati alipotembelea ofisini kwake kupata taarifa ya hali ya miundombinu
katika mkoa huo.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa
maelekezo kwa Meneja wa wakala wa barabara nchini (Tanroads) mkoa wa
Mbeya Eng. Paul Lyakurwa wakati alipokagua barabara ya Ikana-Makamba
–Chitete iliyopo mkoa wa Songwe.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akikagua kituo cha kukuza mawimbi ampilification station kilichopo
miangalau mkoani Rukwa. Kulia kwake ni Meneja wa kampuni ya Simu
Tanzania (TTCL) Mkoa wa Katavi na Rukwa Bw. Peter Kaguru.
Mkuu
wa Mkoa wa Rukwa Zelothe Stephen akitoa taarifa ya hali ya Miundombinu
katika mkoa huo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa wakati alipomtembelea ofisini kwake.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni