Mwenyekiti
wa Bodi ya Taifa ya Parole Mhe. Augustine Mrema (katikati)akisitiza
jambo kwa madereva wa pikipiki toka Wilaya ya kinondoni wakati
alipokutana nao ili kusikiliza kero mbalimbali wanazokutana nazo wakiwa
katika kazi zao mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni
Mwenekiti wa Waendesha Bodaboda na Bajaj wilaya ya Kinondoni Bw. Almano
Mdede na kushoto ni Katibu wake Bw. George Mbwale.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Taifa ya Parole Mhe. Augustine Mrema ( Mwenye Kofia
Katikati) akisisitiza jambo kwa madereva wa pikipiki toka Wilaya ya
kinondoni wakati alipokutana nao ili kusikiliza kero mbalimbali
wanazokutana nazo wakiwa katika kazi zao mapema hii leo jijini Dar es
Salaam.
Baadhi
ya Waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Bodi ya
Taifa ya Parole Mhe. Augustine Mrema wakati akizungumza na madereva wa
pikipiki toka Wilaya ya kinondoni wakati alipokutana nao ili kusikiliza
kero mbalimbali wanazokutana nazo wakiwa katika kazi zao mapema hii leo
jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti
wa Madereva wa pikpiki Wilaya ya Kinondoni Bw. Almano Mdede akifafanua
jambo kwa madereva pikipiki wa Wilaya ya Kinondoni wa Mwenyekiti wa Bodi
ya Taifa ya Parole Mhe. Augustine Mrema (katikati) alipowatembelea
madereva hao na kusikiliza kero mbalimbali wanazokutana nazo wakiwa
katika kazi zao mapema hii leo jijini Dar es Salaam,kushoto ni Katibu wa
Madereva Pikipiki Wilaya hiyo Bw. George Mbwale.
Baadhi
ya madereva Pikipiki wa Wilaya ya Kinondoni wakimsikiliza Mwenyekiti wa
Bodi ya Taifa ya Parole Mhe. Augustine Mrema (hayupo pichani)
alipokutana nao ili kusikiliza kero mbalimbali wanazokutana nazo wakiwa
katika kazi zao mapema hii leo jijini Dar es Salaam. Picha na
Eliphace Marwa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni