SERIKALI YAIMARISHA UDHIBITI WA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI NA BIASHARA YA MADINI
By Newsroom on June 22, 2016
Kaimu
Mtendaji Mkuu kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) Bw.
Gilay Shamika akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam
kuhusu mafanikio yaliyopatikana kwenye wakala hiyo ikiwemo kuongezeka
kwa makusanyo ya mirabaha kwenye shughuli za uzalishaji na uuzaji wa
madini nchini. Kulia ni Msemaji wa Wakala hiyo Bw. Yisambi Shiwa.
Msemaji
wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) Bw. Yisambi Shiwa
akiwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam namna
walivyoimarisha udhibiti wa shughuli za uchimbaji na biashara ya madini
kwa kuongeza wakaguzi migodini na vituo vya ukaguzi kwenye maeneo
mbalimbali na kuhakikisha shughuli hizo zinafanyika kwa kuzingatia
uhifadhi wa mazingira. Kushoto ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa TMAA, Bw. Gilay
Shamika na kulia ni Mwanasheria Bw. Gimonge Ngutunyi.
PICHA NA FATMA SALUM (MAELEZO)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni