mkutano wa kikao kazi cha wafanyakazi, maendeleo ya jamii CHAFANYIKA DAR ES SALAAM
By Newsroom on June 27, 2016
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto,
Bibi Sihaba Nkinga akifungua Mkutano wa watumishi wa Wizara (hawapo
pichani) walioshiriki kikao kazi cha watumishi wote katika ukumbi wa
Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha
Wiki ya Utumishi wa Umma katika Sekta ya Maendeleo ya Jamii. Kulia ni
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Raslimaliwatu Erasmus T.
Rugarabamu na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE wa Tawi Edwin B. Mtembei.
(Tarehe 24/6/2016).
Pcha na Mpiga Picha Wetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni