MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAKULIMA (AFP) AZUNGUMZA NA WANDISHI WA HABARI JUU YA HUJUMA ALIYOFANYIWA
Mhariri
Mkuu Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Ramadhan Ali akimkaribisha
Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AFP) ambae pia ni Waziri wa SMZ asie
na Wizara Maalum Saidi Sudi azungumze na Waandishi wa Habari katika
ukumbi wa Sanaa Rahaleo.

Baadhi
ya wandishi wa Habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima
(AFP) Saidi Sudi hayo pichani katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini
Zanzibar.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni