Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea
na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Pink Red Ribbon toka nchini
Marekani Bi.Celina Schocken,shirika hilo limeahidi kushirikiana na
Tanzania kwenye masuala mazima ya saratani ya matiti na mlango wa kizazi
ili kuwezesha huduma kuwa endelevu,kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa UNAIDS
Dkt.Warren Naamara
Waziri
Ummy Mwalimu akizungumza kwenye kikao hicho,kushoto ni mkurugenzi
msaidizi wa kitengo cha afya na mtoto-wizara ya afya dkt.Georgina Msemo
Waziri Ummy Mwalimu akiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa Pink Ribon Red Itinerary Bi. Celina Schocken
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni