PROFESA MBARAWA AFUNGUA mkutano wa 19 wa Usafiri wa anga.


Mkuu
wa oganaizesheni ya Usafiri wa Anga kwa nchi za SADC Bwana Geofrey
Moshabesh akitoa taarifa ya utekelezaji wa masuala ya usalama wa anga
kwa wajumbe wa mkutano wa 19 wa Usafiri wa anga kwa nchi za Jumuiya
ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) jijini Dar es Salaam jana (leo).
Wajumbe
wa Mkutano wa 19 wa Usafiri wa anga kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika (SADC) wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa.
(Picha na Benjamin Sawe-Maelezo).
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni