NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI YA NCHI AZUNGUMZIA MATUKIO YA KIHALIFU YALIYOTOKEA MKOA WA KUSINI PEMBA
Naibu
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
(kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari(hawapo
pichani) kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba,
mashamba na kuharibu mazao yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba na kuahidi
kuyashughulikia. Kulia ni Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdani Omary
Makame.
Kamishna
wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdani Omary Makame, akizungumza katika
mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusiana na matukio ya
kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao
yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba. Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkutano huo umefanyika Makao Makuu ya Polisi
Zanzibar.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni