KWA MAZOEZI HAYA, KAZI IPO KESHO EL CLASICO
Winga wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (kushoto chini) akiwa mazoezini na nyota mwenzake wa timu hiyo, James Rodriguez kujiandaa na mchezo wa El Clasico wa La Liga dhidi ya mahasimu Barcelona kesho usiku Uwanja Camp Nou.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni