Ijumaa, 22 Aprili 2016

TUME YAPATA UONGOZI MPYA WA TUGHE tawi la TUMESHERIA

M1Mwenyekiti mpya wa Chama cha Wafanyakazi  (TUGHE) tawi la TUMESHERIA Bi. Anjela Shila akiwashukuru wajumbe wakati wa uchaguzi wa viongozi.
M2Afisa Tawala wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Suzana Magoti akizungumza machache kwa niaba ya uongozi wa Tume wakati wa uchaguzi wa viongozi wa TUGHE tawi la TUMESHERIA.
M3Baadhi ya wajumbe wakiwa katika uchaguzi wa viongozi wa TUGHE tawi la TUMESHERIA.
M4Viongozi pamoja na Wajumbe wapya wa TUGHE tawi la TUMESHERIA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya uchaguzi, wa kwanza kulia ni muwakilishi wa TUGHE mkoa Bw. Alquine Masubo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni